PANDU KIFICHO ACHAGULIWA MWENYEKITI WA MUDA WA BUNGE LA KATIBA
Spika
wa Bunge la Zanzibar, na Mbunge wa Bunge maalum la Katiba, Pandu Amir
Kificho amechaguliowa kwa kura zaidi ya 300 kushika nafasi ya Uwenyekiti
wa Bunge Maalum la Katiba jioni hii.
WALIMU WA ZANZIBAR WATEMBELEA TANGANYIKA DC
-
Walimu kutoka Zanzibar wamewasili Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kwa
ziara ya mafunzo na kubadilishana uzoefu na wataalam wa elimu, ili
kuimarisha mbi...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment