Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, February 14, 2014

WABUNGE WANAOSIMAMIA TEMBO NA FARU WAZUNGUMZIA MKAKATI DHIDI YA MAJANGILI WANAOUA WANYAMA HAO

IMG_3002Mwenyekiti wa umoja  wa  wabunge wanaosimamia hifadhi ya mazingira na ulinzi wa wanyamapori  Tembo na Faru (katikati)  Riziki Lolida ,ambaye pia ni Mbunge wa  Viti Maalum   Lindi, akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dares Salaam kuhusu juhudi za za serikali na  umoja huo katika kupambana na vitendo vya ujangili. Kulia ni Mbunge  Jimbo la Kilindi Beatrice Shellukindo. Kushoto ni
Mbunge wa Jimbo la Dole  Sylvester Mabumba, ambaye pia ni Katibu wa Umoja huo.
  IMG_3015Mbunge  Jimbo la Kilindi Beatrice Shellukindo (kulia)akifafanua jambo wakati wa mkutano wa umoja huo uliofanyika leo jijini Dares Salaam.Kushoto ni Mwenyekiti wa umoja  wa  wabunge wanaosimamia hifadhi ya mazingira na ulinzi wa wanyamapori  Tembo na Faru  Riziki Lolida ,ambaye pia ni Mbunge wa  Viti Maalum   Lindi. IMG_3030Baadhi wa wabunge wa umoja huo wakiwa katika mkutano huo jijini Dares Salaam.
(Picha na  Magreth Kinabo – Maelezo)

No comments:

Post a Comment