Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, March 28, 2014

Diamond Platinumz atajwa kuwania tuzo za kimataifa za Kora Music Awards

Diamond Platinumz atajwa kuwania tuzo za kimataifa za Kora Music Awards

Msanii Diamond Platnumz, ameendelea kuchana mawimbi katika anga la muziki hususan kwa upande wa Afrika ambapo amefanikiwa kuingia katika orodha ya wasanii 20 Bora ambao wanafanya vizuri Afrika, ambao wataingia katika kinyanganyiro cha kuwania tuzo za Kora.

Diamond katika orodha hii, anatokea sambamba na majina ya wasanii wakubwa Afrika, kama vile Oliver Mtukudzi, Fally Ipupa, Mafikizolo pamoja na wakali wengine wa muziki barani Afrika

No comments:

Post a Comment