Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, March 1, 2014

MWIGULU NCHEMBA ,MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KALENGA WASHIRIKI MAZISHI YA WANANCHI WATATU KIJIJI CHA KIDAMALI MKOANI IRINGA




Naibu Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Mwigulu Nchemba na akishiriki mazishi ya wananchi watatu waliofarika kwa ajali ya gari,mazishi hayo yamefanyika jioni ya leo katika kijiji cha Kidamali kata ya Nzihi mkoani humo.
 Mgombea Ubunge jimbo la Kalenga,mkoani Iringa,Ndugu Godfrey Mgimwa akishiriki mazishi ya wananchi watatu waliofarika kwa ajali ya gari,mazishi hayo yamefanyika jioni ya leo katika kijiji cha Kidamali kata ya Nzihi mkoani humo.
Baadhi ya Wananchi wa kijiji cha Kidamali wakishiriki kwenye mazishi ya wananchi watatu waliofariki kwa ajali ya gari,iliotokea jana,mazishi hayo yamefanyika jioni ya leo ambapo.Katika mazishi hayo  wanachama wa Chama cha CHADEMA na CCM walishiriki na kutoa ubani wao kwa wafiwa,ambapo CCM walitoa kiasi cha shilingi Miloni moja na CHADEMA shilingi Elfu Hamsini.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Mwigulu Nchemba na Mgombea Ubunge jimbo la Kalenga,mkoani Iringa,Ndugu Godfrey Mgimwa wakiteta jambo kabla ya kwenda kutoa pole na kushiriki mazishi ya Wananchi watatu wa kijiji cha Kidamali,waliofariki kwa ajali ya gari hapo jana mkoani humo.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Mwigulu Nchemba na Mgombea Ubunge jimbo la Kalenga,mkoani Iringa,Ndugu Godfrey Mgimwa wakiwasili katika kijiji cha Kidamali kata ya Nzihi,wakati walipokwenda kushiriki mazishi ya Wananchi watatu wa kijiji hicho waliofariki kwa ajali jana.
 Mgombea Ubunge jimbo la Kalenga,mkoani Iringa,Ndugu Godfrey Mgimwa akizungumza jambo na baadhi ya akina mama waliofika kutoa pole kwenye msiba wa wananchi watatu waliofarika kwa ajali ya gari jana,kwenye kijiji cha Kidamali kata ya Nzihi na pia kushiriki mazishi yao yaliyofanyika leo kijijini humo

No comments:

Post a Comment