Wanainchi wakitazama ajali hiyo,ambayo magari matano yamegongwa na lori iliyofail breki zake
Watu wakijitaidi kuotoa watu waliondani ya basi la uda waweze kutoka nje
Hili basi ambalo limeipandia kwa juu gari nyingine baada ya kugongwa na lori eneo la ubungo.
Ajali mbaya imetokea eneo la ubungo karibu na geti la kutokea mabasi yaendayo mikoani mchana huu.Chanzo cha ajali hiyo ni lori lililopoteza mwelekeo baada ya kufail breki zake na kusababisha kugonga magari matano na pikipiki moja.Bado tunafuatilia kujua kama kuna vifo au la,ila kuna majeruhi wachache
Serikali yaweka Mkakati Sekta ya Uzalishaji wa Dawa, yaanzisha Vivutio
Maalum Mloganzila na Kibaha
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam*
*Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza uwekezaji mkubwa wa
kimkakati katika sekta ya uzalishaji wa daw...
3 hours ago




No comments:
Post a Comment