Juzi tarehe 27 February ilikuwa ni siku rasmi ya msaniii wa muziki wa kizazi kipya, Snura aka Mama wa Majanga kuanza kushoot vipande vya video ya wimbo wake mpya unaoitwa Ushaharibu, miongoni mwa vipande vitakavyoonekana ni hivi ambavyo vimefanyika nje ya kidogo ya Dar es salaam. Video hii inatengenezwa na Next Level chini ya Director Adam Juma, hizi ni baadhi ya picha zitakazoonekana kwenye video hiyo. Ikiwa imesimamiwa na Manager wake Hyperman HK.
KUJENGA UTAALAMU: TAEC YAWAFUNDISHA WATAALAMU 50 KUHUSU USALAMA WA MIONZI
KATIKA SEKTA YA AFYA
-
Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) imefanikisha kuendesha mafunzo ya
kitaifa ya siku nne kuhusu usalama wa mionzi ya mashine za X-Ray na vyanzo
vingin...
4 hours ago





































No comments:
Post a Comment