Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, March 21, 2014

TRAFIKI AGONGWA NA GARI MOROGORO.


 
Askari wa  kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Morogoro Analijulina Bw Crispan 'Mandela' amegongwa na gari eneo la Mtawala Barabara inayotoka Msavumu  kuingia katikatika ya Mji wa Morogoro.Hii ni Mara ya Pili kwa Askari Huyo Kugongwa na Gari Mkoani Hapa

No comments:

Post a Comment