Askari wa
kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Morogoro Analijulina Bw Crispan
'Mandela' amegongwa na gari eneo la Mtawala Barabara inayotoka Msavumu
kuingia katikatika ya Mji wa Morogoro.Hii ni Mara ya Pili kwa Askari
Huyo Kugongwa na Gari Mkoani Hapa
Serikali yaanzisha Uchunguzi Hospitali ya Temeke, Tuhuma za Rushwa
zachunguzwa
-
Dodoma Desemba 26, 2025: Serikali imeanzisha uchunguzi wa kina kuhusu
mwenendo wa utoaji wa huduma katika Hospitali ya Temeke, ikiwemo kuzimwa
kwa mashine...
6 hours ago


No comments:
Post a Comment