Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kuzungumza na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania Mhe.Ben Rugangazi aliyekwenda ikulu jijini Dar es Salaam kuagana na Rais baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini.(picha na Freddy Maro)
IAEA yajionea mageuzi ya utoaji huduma katika Taasisi ya Ocean Road
-
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kiufundi kwa Afrika Gashaw
Gebeyehu Wolde wa Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki
(IAEA)akizungumza na waandi...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment