MADIWANI WA ZANZIBAR NA MANISPAA YA KINONDONI WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA MIKUMI
Juzi siku ya Pasaka,Waheshimiwa Madiwani wa
Manispaa ya Zanzibar Wakiwa na watendaji wao walipata Kutembelea mbuga
ya wanyama mikumi iliyopo mkoani Morogoro, Muga ya Mikumi ipo kilometa
288 toka mji wa Dar es salaam na mbuga hii ina kilometa
za mraba zipatazo 1070 square metre, Katika safari hiyo Ugeni huu
ulisindikizwa na Naibu meya wa Manispaa ya Kinondoni Mh Songoro Mnyonge
akiambatana na baadhi ya Madiwani na watendaji katika Manispaa ya
Kinondoni. Msafara ulikuwa mkubwa wa costa 3 pamoja na hardtop 3 kweli
safari ilikuwa nzuri na wageni wetu toka zanzibar walifurah sana.
Blog Zinazoanzia na Herufi ya W
-
*1. Wamtaani*
www.wamtaani.com
*2. Wanabidii Blog*
wanabidiiblog.blogspot.com
*3. Watanzania Waishio Nje ya Nchi*
watanzaniaughaibuni.blog...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment