MATUKIO YA LEO YALIYOTOKEA KWENYE BUNGE LA KATIBA DODOMA
Wajumbe
wa Bunge Maalum la Katiba wakiwasili katika eneo la Ukumbi wa Mkutano
leo mjini Dodoma kwa ajili ya kuendelea na mjadala wa sura ya kwanza na
sita ya rasimu ya Katiba mpya.Baadhi
ya Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakiwa ndani ya Ukumbi wa Mkutano
wakifuatilia mjadala wa sura ya kwanza na sita ya rasimu ya Katiba mpya
leo mjini Dodoma.Mjumbe
wa Bunge Maalum la Katiba Goodluck Joseph Ole-Medeye akitoa mchango
wake akiwasilisha katika Ukumbi wa Mkutano leo mjini Dodoma wakati wa
mjadala wa sura ya kwanza na sita ya rasimu ya Katiba mpya.Mwenyekiti
wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta(kulia) na Mjumbe wa Bunge hilo
Profesa Costa Mahalu(kushoto) wakijadiliana kitu leo mjini Dodoma wakati
wa mjadala wa sura ya kwanza na sita ya rasimu ya Katiba mpya.
BALOZI NCHIMBI MSIBANI KWA HAWASSI
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John
Nchimbi, akiwa kwenye msiba wa Bi. Damaris Simeon Hawassi, aliyekuwa mke wa
Katibu wa H...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment