Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, April 22, 2014

MVUA ZAZIDI KUHARIBU MIUNDOMBINU YA BARABARA MAKETE‏





Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani Makete mkoani Njombe, baadhi ya barabara zimeharibika vibaya na kusababisha kero kwa watumiaji wa barabara hizo. 

Pichani ni hali ya barabara ya Tanesco iliyopo Makete mjini inavyoonekana ikiwa imejaa mashimo na tope kwa wingi, huku vifusi vya kuikarabati vikiwa vimelundikwa pembeni na kazi ya kuikarabati kushindwa kufanyika kutokana na mvua nyingi zinazonyesha wilayani hapo.(Picha na Edwin Moshi)

No comments:

Post a Comment