Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Saidi Meck Sadiki baada ya kuwasili leo April 4, 2014 katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Brussels, Ubelgiji, alikofanya ziara ya kikazi ya siku mbili na kuhudhuria mkutano wa mataifa ya Afrika na nchi za Jumuiya ya Ulaya. Kabla ya hapo Rais Kikwete alifanya zaiara ya kiserikali ya siku tatu nchini Uingereza kwa mwaliko wa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mhe David Camaron. PICHA NA IKULU
WAKONGO WAGOMA KUZIKA BINTI YAO
-
Mchungaji Kalanba Mukala Louis ambaye ni baba wa marehemu binti Berlis.
Baba mdogo wa marehemu Mchungaji Enock Ambroseo.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Jum...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment