Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Saidi Meck Sadiki baada ya kuwasili leo April 4, 2014 katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Brussels, Ubelgiji, alikofanya ziara ya kikazi ya siku mbili na kuhudhuria mkutano wa mataifa ya Afrika na nchi za Jumuiya ya Ulaya. Kabla ya hapo Rais Kikwete alifanya zaiara ya kiserikali ya siku tatu nchini Uingereza kwa mwaliko wa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mhe David Camaron. PICHA NA IKULU
Exim Bank yazidi kuwekeza katika maendeleo ya jamii Zanzibar
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Zanzibar. Benki ya Exim Tanzania imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya
kuchangia maendeleo ya jamii kupitia mpango wake wa Uwajibi...
21 hours ago


No comments:
Post a Comment