Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Saidi Meck Sadiki baada ya kuwasili leo April 4, 2014 katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Brussels, Ubelgiji, alikofanya ziara ya kikazi ya siku mbili na kuhudhuria mkutano wa mataifa ya Afrika na nchi za Jumuiya ya Ulaya. Kabla ya hapo Rais Kikwete alifanya zaiara ya kiserikali ya siku tatu nchini Uingereza kwa mwaliko wa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mhe David Camaron. PICHA NA IKULU
VIJANA WAHIMIZWA KUPATA ELIMU YA FEDHA WAKATI COOP BANK IKIPANUA WIGO WA
HUDUMA ZAKE
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
WAZIRI katika Ofisi ya Rais anayeshughulikia Maendeleo ya Vijana, Joel
Nanauka, amewataka vijana nchini kuzingatia elimu ya ...
15 hours ago


No comments:
Post a Comment