JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA
TAHADHARI
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma inawatahadharisha wananchi wote, ndani na nje ya nchi kujihadhari na watu wanaotumia jina la Utumishi kuwaibia fedha na kupoteza muda wao kufuatilia jambo ambalo halipo.
Watu hao wanatumia majina yafuatayo katika mitandao:
Saving Foundation Loans na Jakaya Foundation kwa anuani
http://savingfoundation.wapka.mobi/index.xhtml na kuelekeza kuwa Makao Makuu yapo kwenye jengo la UTUMISHI.
Namba za simu zIfuatazo zimekuwa zikItumika kuwatapell wananchI watume fedha; 0715-373307, 0656-037520 na 0762-269376.
Wananchi epukeni kurubuniwa na watu hao kwani Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma haijishughulishi na kutoa mikopo ya aina yoyote kwa wananchi.
http://savingfoundation.wapka.mobi/index.xhtml na kuelekeza kuwa Makao Makuu yapo kwenye jengo la UTUMISHI.
Namba za simu zIfuatazo zimekuwa zikItumika kuwatapell wananchI watume fedha; 0715-373307, 0656-037520 na 0762-269376.
Wananchi epukeni kurubuniwa na watu hao kwani Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma haijishughulishi na kutoa mikopo ya aina yoyote kwa wananchi.
Tangazo limetolewa na
Katibu Mkuu,
Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma.
2 Aprili, 2014
Mawasiliano: permsec@utumishLgo,
S.L.P 2483
Dar es Salaam,
Simu, (255) 22 2118531-4
No comments:
Post a Comment