Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, April 14, 2014

TAZAMA MATUKIO YA LEO KWENYE BUNGE LA KATIBA WAKATI WA UWASILISHWAJI WA MAONI YA KAMATI

1Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Tundu Lissu akiwasili leo kuhudhuria kikao cha ishirini na mbili cha Bunge hilo kwenye Ukumbi mjini Dodoma.4Baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakiwasili leo kuhudhuria kikao cha ishirini na mbili cha Bunge hilo kwenye Ukumbi mjini Dodoma.
5Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Philemon Ndesamburo (kulia) naProfesa  Kulikoyela Kahigiwakiwasili leo kuhudhuria kikao cha ishirini na mbili cha Bunge hilo kwenye Ukumbi mjini Dodoma.
9Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Ismail Jussa (kushoto),Macharo Othman Said(katikati) na Nassor Ahmed Mazrui wakiwasili leo kuhudhuria kikao cha ishirini na mbili cha Bunge hilo kwenye Ukumbi mjini Dodoma.10  Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta akitoa ufafanuzi  kwenye kikao cha ishirini na mbili cha Bunge hilo kwenye leo mjini Dodoma.
11Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Tundu Lissu akiwasilisha maoni ya wachache  leo kuhudhuria kikao cha ishirini na mbili cha Bunge hilo kwenye Ukumbi mjini Dodoma.12Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Anne Makinda (kushoto) na Pandu Ameir Kificho(kulia) wakifuatilia mjadala kwenye kikao cha ishirini na mbili cha Bunge hilo leo mjini Dodoma.
13Mwenyekiti wa Kamati namba sita wa Bunge Maalum la Katiba Stephen Wassira akiwasilisha maoni ya Kamati yake leo mjini Dodoma kwenye kikao cha ishirini na mbili cha Bunge hilo.
Picha na Bunge Maalum la Katiba

No comments:

Post a Comment