Mmoja wa majeruhi akitolewa eneo la tukio.Mlipuko huo umetokea jana katika mji wa Soma mkoa wa Manisa.
Inahofiwa kuwa wachimbaji mgodi wengine wengi bado wamefukiwa na kifusi chini ya mgodi.
Wakati mlipuko huo ulipotokea, wafanyakazi 580 walikuwa ndani ya mgodi huo japo inaaminika wengi waliweza kukimbilia sehemu salama.

No comments:
Post a Comment