Black Rhyno anaweza kuwa ndiye rapper wa Tanzania mwenye mke mrembo kuliko wote… Mke wake anaitwa Beatrice Mmbaga Haule. Wawili hao wamebariki kupata mtoto wa kike aitwaye Rishona Cherisse. Tazama picha zao hapa.
Black Rhyno, mkewe Beatrice na mtoto wao Rishona wakiwa kwenye studio za Clouds FM
Beatrice na Rishona
Chanzo Bongo 5
WAZIRI WA ARDHI DKT AKWILAPO AKUTANA NA RC MTWARA
-
Na Munir Shemweta, WANMM MTWARA
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo leo
tarehe 22 Desemba 2025 amekutana na kufanya m...
30 minutes ago




No comments:
Post a Comment