Huyu jamaaa kama amekata tamaaa vile anaona dahhhh tumekuja kwenye usaili au kuangalia mpira?wanaajiriwa watu 70 tunaitwa watu 20000
Wasailiwa wa nafasi mbali mbali wakiingia ndani ya uwanja wa Taifa
Wasiliwa wakikaa kusubili nini kitakachoendelea baada ya kuingia ndani ya uwanja wa Taifa
Picha hizo hapo juu ni maelfu ya Vijana ambao wamefika kwenye usaili leo jijini Dar kwa ajili ya kujaza nafasi mbali mbali kwenye idara ya uhamiaji.Kwa kuangalia tu picha inadhihirisha ni kwa kiasi gani vijana wengi wapo mtaani na wamesoma.Je serikali ina mpango gani wa kusaidia vijana wa Taifa hili ambao wana elimu lakini wamekosa nafasi ya kuajiriwa,sawa wengine watasema ujiajiri,Je?uunaweza kujiajiri bila kuwa na kipato au kianzio?Tanzania nchi Yangu nakupenda sana..................
DKT. KIJAJI: USHINDI WA TUZO ZA UTALII DUNIANI NI MATUNDA YA FILAMU YA
'TANZANIA: THE ROYAL TOUR'.
-
Na Philipo Hassan – Dodoma
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) ameeleza kuwa
Tanzania kuibuka mshindi wa Tuzo mbalimbali za utalii...
1 hour ago





No comments:
Post a Comment