Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, June 2, 2014

MAREHEMU GEORGE TYSON KUAGWA LEADERS CLUB, KUZIKWA KWAO KISUMU NCHINI KENYA.


Mwili wa mwongozaji na mtayarishaji wa filamu nchini, George Tyson utaagwa katika Viwanja vya Leaders na baadaye utasafirishwa kwenda nchini Kenya kwa mazishi. Kwa mujibu wa ndugu wa marehemu, Tyson atazikwa Kisumu, Kenya Juni 7 mwaka huu. Sikiliza habari kamili hapa chini kwa kubofya play.


No comments:

Post a Comment