Mwili wa mwongozaji na mtayarishaji wa filamu nchini, George Tyson utaagwa katika Viwanja vya Leaders na baadaye utasafirishwa kwenda nchini Kenya kwa mazishi. Kwa mujibu wa ndugu wa marehemu, Tyson atazikwa Kisumu, Kenya Juni 7 mwaka huu. Sikiliza habari kamili hapa chini kwa kubofya play.
Benki ya Stanbic Tanzania yatoa msaada hospitali ya Rufaa ya Mawenzi mkoani
Kilimanjaro.
-
*Ni sehemu ya mpango endelevu wa kusaidia jamii kwa kuchangia uboreshaji wa
sekta ya Afya.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Nurdin Babu (katikati) akipok...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment