Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, June 7, 2014

PICHA 15::::MAANDALIZI KWA AJILI YA SHOW YA KILI TOUR KAHAMA TAYARI....SOGEA SOGEA UWANJANI EWE MKAZI WA KAHAMA



Wakazi wa Kahama wanajiandaa kushuhudia show ya wakali wa muziki nchini iliyosogezwa na Bia ya Kilimanjaro ikiwa ni jitihada za kuhakikisha burudani inawafikia Watanzania pale walipo ikiwa ni baada ya kumalizika kwa tuzo za Muziki nchini na washindi kujulikana.Wakati wakazi wa Kahama wakisubiria kwa hamu wakati ufike waende uwanjani, tayari maandalizi yako katika hatua za mwishoni ambapo Jukwaa tayari limewekwa uwanjani na kampuni ya Integrated Communications na wasanii kufanya majaribio ya sauti na muziki chini ya usimamizi wa kampuni ya Executive Solutions huku timu ya East Africa TV ikiweka sawa camera na vifaa vya muziki jukwaani kwa ajili ya kuchukua tukio zima.
Hizi ni baadhi ya picha toka Kahama



Magari ya matangazo nje ya uwanja



Bia zitakazogawiwa kwa watakaolipa kiingilio cha 2500



Sekta ya maakuli na vinywaji




Nyamachoma ikiandaliwa kwa ajili ya watakahudhuria uwanjani



Muonekano wa jukwaa litakalotumika



Mahali ambapo muziki wote wakati wa show unasimamiwa



Hii ndio backstage itakayotumiwa na wasanii Kahama
 



DJ Mackay na Dulla jukwaani kusubiria zoezi la majaribio ya sauti



Mwana FA akisubiri kufanya majaribio ya sauti

 Rich Mavoko
 AY Akijaribu MIC
 Rich mavoko naye akijaribu sound
 Shilole akimpa maelekezo Dj mackay

No comments:

Post a Comment