Magari matatu yamegongana kwenye makutano ya Barabara ya
Ubungo-Mabibo Mwisho na Barabara ya External jijini Dar es Salaam.Ajali hiyo
imelihusisha gari dogo lenye namba za usajili T 218 CVK, Canter lenye namba za
usajili T 820 BYR na Lori lenye namba T 779 AWC. Katika ajali hiyo hakuna
aliyepoteza maisha.
Eight Strategic Agreements: The New Map of Tanzania-Russia Economic
Cooperation Unveiled
-
* Minister of State in the President's Office (Planning and Investment),
Professor Kitila Mkumbo, addressing members of the press on the outcomes of
th...
10 hours ago




No comments:
Post a Comment