Magari matatu yamegongana kwenye makutano ya Barabara ya
Ubungo-Mabibo Mwisho na Barabara ya External jijini Dar es Salaam.Ajali hiyo
imelihusisha gari dogo lenye namba za usajili T 218 CVK, Canter lenye namba za
usajili T 820 BYR na Lori lenye namba T 779 AWC. Katika ajali hiyo hakuna
aliyepoteza maisha.
NBAA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA TAALUMA YA UHASIBU KWA WANAFUNZI WA CHUO
KIKUU CHA MZUMBE
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendelea
kutoa elimu na mafunzo kwa vyuo vikuu pamoja na shule za sekondari ikiwa na ...
11 hours ago




No comments:
Post a Comment