Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, June 20, 2014

SEREY DIE AONESHA UZALENDO WA HALI YA JUU, AICHEZEA IVORY COAST LICHA YA KUFIWA NA BABA YAKE SAA MBILI KABLA YA MECHI YA COLOMBIA

Emotional: Ivory Coast midfielder Serey Die bust into to tears during his country's national anthem

All too much: Serge Aurier, Cheick Tiote and Didier Zokora all had to console the midfielder before kick-off
Huzuni:  Serge Aurier, Cheick Tiote na Didier Zokora wote walijumuika na kiungo huyo wakati wa huzuni kabla ya mchezo kuanza
Sad day: Brave Die took to the field for the Ivory Coast just hours after his father passed away


Sad day: Brave Die took to the field for the Ivory Coast just hours after his father passed away
Siku ya huzuni: Shujaa Die aliichezea Ivory Coast saa chache baada ya baba yeka kufariki dunia


Die alijaribu kuimba wimbo wa taifa lake, lakini kutokana na hisia kali alizokuwa nazo alishindwa kuzua machozi yaliyokuwa yanambubujika.
Beki Serge Aurier  na mchezaji wa zamani wa Tottenham, Didier Zokora haraka walienda kumfariji mwenzao kabla ya mechi kuanza.
 Nyota wa Newcastle, Cheick Tiote pia alienda kumpa mkono wa pole Die, ambaye kwa bahati mbaya mechi yenyewe ameshuhudia nchi yake ikifungwa mabao 2-1.
James Rodriguez na Juan Fernando Quintero waliifungia Colombia wakati mchezaji wa zamani wa Asernal, Gervinho alifunga bao la kufutia machozi kwa Tembo.
Frustrated figure: Die lets his emotions show on the field of play during Ivory Coast's match with Colombia
Die mwenye machungu ya kufiwa na baba yake alicheza mechi dhidi ya   Colombia.

In action: Die gets stuck in to make a challenge on Colombia's Juan Cuadrado early on in the first half

No comments:

Post a Comment