Kuanzia Jana Majira ya Asubuhi Watu wasiofahamika Wali-hack Account Yangu hii ya Facebook na Email Zangu.
Wametumia Account Zangu Kutangaza UTAPELI wao kuhusu Kitu Kinachoitwa VICOBA TANZANIA.
Nakanusha,Sifahamu Kuhusu Vicoba Tanzania,Sihusiki na Kitu hicho,Sina
Uhusiano Wowote na Mtu Yeyote au Taasisi Inayoitwa VICOBA Tanzania.
Kwa maana hiyo Utapeli wowote Unaotumika kupitia Jina langu kwa hao VICOBA TANZANIA sihusiki.
Nawasihi Watanzania Kuwa Makini na Mitandao hii ya Kijamii,Wizi na
Utapeli Kupitia Mitandoa ya Kijamiii Umeongezeka Sana.Tafadhali Kuweni
Makini.
Aidha napenda Kuujulisha Umma kuwa Hatua za Kiusalama zimeshaanza Kuchukuliwa dhidi ya Watu hao,tunaomba Mtuunge Mkono.
Poleni na Asanteni.
Tanzania Kushirikiana na Marekani Kufanya Utafiti wa Maeneo Yenye Madini ya
Kinywe (Graphite)
-
Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amesema Tanzania itaendelea
kushirikiana na Serikali ya Marekani katika matumizi ya teknolojia na vifaa
vya kisasa ...
3 minutes ago


No comments:
Post a Comment