Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, June 20, 2014

TAZAMA PICHA ZA MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI DODOMA

PG4A2995Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Wazee Mohammed Cheupe (katikati) na Seif Membe (kulia)  kutoka Jimbo la   Ruangwa ambao walitembela bunge mjini Dodoma Juni 20, 2014, kwa mwaliko wa mbunge wao Kassim Majaliwa ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

PG4A3018Mbunge wa  Rungwe Magharibi, Profesa David Mwakyusa   (kushoto) akiteta na Mbunge wa Viti Maalum, Rukia Kassim Ahmed, Bungeni mjini Dodoma Juni 20, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment