Aisha bui kawa gumzo kwa muda mfupi tangu
arudi kwenye game na filamu yake ya mshale wa kifo anasema namshukuru mungu na
mashabiki kwa kunipokea vizuri,Na amewahaidi kuendelea kutoa Filamu kali na zenye maadili na kuelimisha Jamii.
MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI
WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE
-
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026
amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa
moy...
20 hours ago


No comments:
Post a Comment