Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, July 18, 2014

ARSENAL YATAMBULISHA BEKI MPYA KUZIBA PENGO LA SAGNA

Tangazo: Arsenal imetoa tangazo la usajili mpya 
KLABU ya Arsenal imemsajili beki wa kulia wa kimataifa wa Ufaransa, Mathieu Debuchy kutoka Newcastle wakati Washika Bunduki wakiendelea kumwaga fedha kusajili.
Debuchy, mwenye umri wa miaka 28, amechukuliwa ili kuziba pengo la Mfaransa mwenzake, Bacary Sagna aliyehamia kwa mabingwa,  Manchester City mapema baada ya msimu.
Arsenal iemtweet picha ya Debuchy ikiambatana na ujumbe#KaribuDebuchy.

No comments:

Post a Comment