Hawa ndio wasanii ambao hawajawahi kuhalibu sokoni kila
filamu inayo ingia huwa gumzo la mji haya filamu hii ya kidume inaingia mtaani
tarehe 21 mwezi 8 haya ,Sasa Humo ndani kuna Salma Jabu maarufu Nisha Na Mboto
kaa Tayari kwa Filamu kali toka Tanzania.
JAB YAKEMEA UVUNJAJI WA SHERIA ZA AJIRA KATIKA SEKTA YA HABARI
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewasisitiza waajiri kwenye
vyombo vya habari nchini kuzingatia kikamilifu masharti ya...
6 hours ago


No comments:
Post a Comment