Hawa ndio wasanii ambao hawajawahi kuhalibu sokoni kila
filamu inayo ingia huwa gumzo la mji haya filamu hii ya kidume inaingia mtaani
tarehe 21 mwezi 8 haya ,Sasa Humo ndani kuna Salma Jabu maarufu Nisha Na Mboto
kaa Tayari kwa Filamu kali toka Tanzania.
JAFO AANZA KUTEKELEZA AHADI ZAKE KISARAWE
-
Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza katika kikao
cha Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Kisarawe kwa ajili ya kuwashukuru wajumbe
mara...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment