Hawa ndio wasanii ambao hawajawahi kuhalibu sokoni kila
filamu inayo ingia huwa gumzo la mji haya filamu hii ya kidume inaingia mtaani
tarehe 21 mwezi 8 haya ,Sasa Humo ndani kuna Salma Jabu maarufu Nisha Na Mboto
kaa Tayari kwa Filamu kali toka Tanzania.
MSANII MKONGWE MZEE KAMBI AFARIKI DUNIA
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Tasnia ya filamu nchini imepata pigo kufuatia kifo cha msanii mkongwe,
Mzee Kambi, kilichotokea leo Aprili 27, 2026.*
*Taarifa za k...
32 minutes ago


No comments:
Post a Comment