Hawa ndio wasanii ambao hawajawahi kuhalibu sokoni kila
filamu inayo ingia huwa gumzo la mji haya filamu hii ya kidume inaingia mtaani
tarehe 21 mwezi 8 haya ,Sasa Humo ndani kuna Salma Jabu maarufu Nisha Na Mboto
kaa Tayari kwa Filamu kali toka Tanzania.
MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI
WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE
-
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026
amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa
moy...
1 day ago


No comments:
Post a Comment