Hawa ndio wasanii ambao hawajawahi kuhalibu sokoni kila
filamu inayo ingia huwa gumzo la mji haya filamu hii ya kidume inaingia mtaani
tarehe 21 mwezi 8 haya ,Sasa Humo ndani kuna Salma Jabu maarufu Nisha Na Mboto
kaa Tayari kwa Filamu kali toka Tanzania.
WIZARA, TAASISI NA UMMA NA BINAFSI NA MASHIRIKA YA KIRAIA YAHIMIZWA
KUCHANGAMKIA FURSA MKUTANO WA COP 12
-
NAIBU Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe Rueben
Kwagilwa akizungumza na vyombo vya habari Julai 2,2026 Jijini Tanga kuhusu
tamk...
13 hours ago


No comments:
Post a Comment