Vifaaa vinavyodaiwa kuitungua ndege iyo
Shirika la ndege ya Malaysia limethibitisha
kupoteza mawasiliano na ndege yake namba MH17 iliyokuwa ikitokea
Amsterdam, Uholanzi kuelekea Kuala Lumpur. Malaysia Airlines
imethibitisha taarifa hizo kupitia akaunti yake rasmi ya twitter. Ndege
hiyo ilikuwa imebeba watu 295. Taarifa kutoka Moscow zinasema ndege hiyo
imepatikana ikiwa imeanguka na inawaka moto mashariki mwa Ukraine
WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA SLOVAKIA AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Masuala ya Ulaya wa Jamhuri ya Slovakia, Mhe.
Juraj Blanár, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi kuanzia Juni 10 hadi 11,
2026,...
1 day ago






No comments:
Post a Comment