MTU mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Mgogo, ambaye ni dereva wa bodaboda amegongwa gari na kufariki papo hapo, jioni hii mkoani Morogoro.Gari iliyomgonga dereva huyo ni aina ya Coaster inayofanya safari ya Kihonda Mjini mkoani humo.
TNCC, Belarus Wasaini Makubaliano Kufungua Fursa Mpya za Biashara
-
*Fursa mpya za biashara, uwekezaji na ushirikiano wa kimkakati
zimefunguliwa kufuatia kusainiwa kwa Hati ya Makubaliano ya Maelewano (MoU)
kati ya Tanzan...
3 hours ago




No comments:
Post a Comment