MTU mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Mgogo, ambaye ni dereva wa bodaboda amegongwa gari na kufariki papo hapo, jioni hii mkoani Morogoro.Gari iliyomgonga dereva huyo ni aina ya Coaster inayofanya safari ya Kihonda Mjini mkoani humo.
DKT.BITEKO AWATAKA WAFANYAKAZI WANAWAKE WA TANESCO KUWA MABALOZI WA KUTUMIA
NISHATI SAFI YA KUPIKIA
-
*Wanawake hao wamzawadia jiko la umeme Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa
Nishati
Na Mwandishi wetu.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment