Leo
natambulisha ngoma yangu mpya ndani ya xxl clouds fm.. Mpaka Kuchee fit
Diamond, Ay n Dully Sykes... Leo kuanzia 8mchana. Nimefanya kazi ambayo ni
special kwa Mashabiki wangu. Watu wangu tu. Asante
WAANDAA MAUDHUI MTANDAONI WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA YA MKOPO WA RIBA NAFUU
KUTOKA MFUKO WA UTAMADUNI NA SANAA
-
Na.Vero Ignatus, Arusha
Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na michezo imeendesha mafunzo kwa waandaa
maudhui mtandaoni Mkoani Arusha yakiwa na lengo la kuwaj...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment