Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, August 27, 2014

MAAJABU: TAZAMA MTI WA MAAJABU UNAOTOA MATUNDA YENYE UMBO KAMA LA BINADAMU


Duniani kuna maajabu, mti huu unaotoa matunda yenye umbo la binadamu huko nchini Thailand na kuzaa kila baada ya miaka 20. Haya ndiyo maajabu ya dunia, ukistaajabu ya Musa utaona ya mti huu wa maajabu.

No comments:

Post a Comment