Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa
Mwanza Mhandisi Evarest Ndikilo (kulia) na Katibu wa CCM wa Mkoa wa Mwanza,
Joyce Masunga baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza August 22, 2014 ambako August 23, 2014
anatarajiwa kuongoza harambee iliyoandaliwa na Mkapa Foundation. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Serikali yaweka Mkakati Sekta ya Uzalishaji wa Dawa, yaanzisha Vivutio
Maalum Mloganzila na Kibaha
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam*
*Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza uwekezaji mkubwa wa
kimkakati katika sekta ya uzalishaji wa daw...
3 hours ago


No comments:
Post a Comment