Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa
Mwanza Mhandisi Evarest Ndikilo (kulia) na Katibu wa CCM wa Mkoa wa Mwanza,
Joyce Masunga baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza August 22, 2014 ambako August 23, 2014
anatarajiwa kuongoza harambee iliyoandaliwa na Mkapa Foundation. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
WAHITIMU MAFUNZO YA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA WASISITIZWA UZALENDO
-
Na Elizaberth Msagula,Lindi
VIJANA waliohitmimu mafunzo ya awali ya kijeshi ya jeshi la kujenga Taifa
(JKT) wamehimizwa uzalendo,uaminifu na uadilifu k...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment