Aliyekuwa Mtangazaji wa Radio One Omari Katanga leo amejiunga rasmi na 93.7 EFM akifuata nyayo za pacha wake Kitenge. Saa moja iliyopita EFM katika page yake ya twitter waliandika kuwa wamemsainisha mtangazaji wa zamani wa Radio One kujiunga na Radio yao. baada ya siku mbili zilizopita mtangazaji mahiri wa habari za michezo nchini Maulid Kitenge kujiunga na EFM.
SHILATU ATOA TAHADHARI UCHAGUZI
-
~ Aeleza Kuna maisha baada ya uchaguzi
Na Mwandishi wetu Mpapura
Afisa Tarafa Mpapura Emmanuel Shilatu amewataka Wananchi kushiriki uchaguzi
wa Serikali ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment