Mtangazaji wa michezo wa E FM 93.7 Maulid Kitenge akiwa na Gwiji wa zamani wa Real Madrid Luis Figo alipowasili usiku huu jijini Dar es salaam na wachezaji wenzie nyota wa zamani wa timu hiyo ya Hispania ambayo Jumamosi itakipiga na wachezaji nyota wa Tanzania kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki uwanja wa Taifa
MAJALIWA: VIJANA CHANGAMKIENI FURSA ZINAZOTOKANA NA MAENDELEO YA KIDIJITALI
-
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka vijana wachangamkie fursa
zinazotokana na maendeleo ya teknolojia katika kujipatia kipato na
kushiriki kukuza Uchumi...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment