Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, August 22, 2014

TAMA PICHA ZA LUIS FIGO AKIWA AMETUA TANZANIA KWA MARA YA KWANZA

 Mtangazaji wa michezo wa E FM 93.7 Maulid Kitenge akiwa na Gwiji wa zamani wa Real Madrid Luis Figo alipowasili usiku huu jijini Dar es salaam na wachezaji wenzie nyota wa zamani wa timu hiyo ya Hispania ambayo Jumamosi itakipiga na wachezaji nyota wa Tanzania kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki uwanja wa Taifa

 

No comments:

Post a Comment