Mtangazaji wa michezo wa E FM 93.7 Maulid Kitenge akiwa na Gwiji wa zamani wa Real Madrid Luis Figo alipowasili usiku huu jijini Dar es salaam na wachezaji wenzie nyota wa zamani wa timu hiyo ya Hispania ambayo Jumamosi itakipiga na wachezaji nyota wa Tanzania kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki uwanja wa Taifa
SERIKALI YAIMARISHA UWAZI SEKTA YA MADINI, BEI ELEKEZI KUTOLEWA KILA SIKU
-
Serikali kupitia Tume ya Madini imesema itaendelea kutoa bei elekezi za
madini ya dhahabu, shaba na fedha kila siku itakayotumika kwenye masoko na
vituo vy...
33 minutes ago
.jpg)
.jpg)

No comments:
Post a Comment