Mtangazaji wa michezo wa E FM 93.7 Maulid Kitenge akiwa na Gwiji wa zamani wa Real Madrid Luis Figo alipowasili usiku huu jijini Dar es salaam na wachezaji wenzie nyota wa zamani wa timu hiyo ya Hispania ambayo Jumamosi itakipiga na wachezaji nyota wa Tanzania kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki uwanja wa Taifa
Waziri Aweso ataka Kazi zifanyike Usiku na Mchana Kikamilisha Mradi Wa
Mkinga
-
*Na Oscar Assenga, MKINGA*
*WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso amemtaka Mkandarasi anayetekeleza mradi wa Maji
Mkinga – Horohoro kuhakikisha wanafanya kazi usiku ...
56 minutes ago
.jpg)
.jpg)

No comments:
Post a Comment