Katika hali ya kushangaza, mtu mmoja anayefahamika kwa jina
la Ali, mkazi wa Mwananyamala jijini Dar, amekamatwa na polisi baada ya kudaiwa
kuunganisha visivyo halali, mitambo ambayo iliwawezesha watu kuangalia
matangazo ya televisheni ya vituo mbalimbali kwa malipo rahisi.
NCHI YA TANZANIA YAVUKA LENGO LA USALAMA WA CHAKULA KUTOKA ASILIMIA 100
MPAKA KUFIKIA ASILIMIA 124.
-
Na Janeth Raphael -MichuziTv -Dodoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Raisi Mipango na Uwekezaji Mhe Prof. Kitila Mkumbo
amesema kuwa hatua ya kwanza kujipima kat...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment