Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Mhe. Andrew Chenge (kushoto)
akiwasili bungeni kwa ajili ya kuwasilisha Rasimu ya Katiba
inayopendekezwa, leo 24 Septemba, 2014. Kulia ni mjumbe wa
Bunge hilo, Dkt. Tulia Ackson.
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta
akiongoza bunge hilo leo 24 Septemba, 2014 mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi wa Bunge Maalu la Katiba, Mhe.
Andrew Chenge akiwasilisha Rasimu iliyopendekezwa ndani ya
bunge hilo leo 24 Septemba, 2014 mjini Dodoma.
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)

No comments:
Post a Comment