Wafanyabiashara hao wakiwasikiliza viongozi wao (hawapo
pichani).
Wafanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es Salaam waliokuwa
katika mgomo wa kupinga matumizi ya
mashine za Kodi za TRA (EFD), Jana asubuhi
wamekutana na viongozi wao ambapo
wamekubali kufungua maduka huku suala lao likitafutiwa ufumbuzi zaidi.
No comments:
Post a Comment