
Mbunge wa Maswa John Shibuda, akikabidhiwa cheti na Rais Kikwete

Rais Kikwete akikabidhi Vyeti kwa Wajumbe washiriki wa Bunge hilo....Paul Kimiti wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye viwanja vya Ikulu ndogo mjini Dodoma

Paul Makonda, akikabidhiwa cheti na Rais.....

Zoezi la kukabidhi vyeti likiendelea kwa Wajumbe washiriki wa Bunge hilo..

Picha ya pamoja kwa kumbukumbu viongozi wakuu wa kitaifa na wenyeviti wa Bunge hhilo..

Picha ya pamoja.Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais


No comments:
Post a Comment