Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, November 20, 2014

CHADEMA YAFUNIKA MANG'ULA KWA MKUTANO WA KIHISTORIA

Na Mohamedi Mtoi
Mwenyekiti Taifa amefanya mikutano mitano kwenye majimbo matatu ya Ulanga Magharibi, Ulanga Mashariki na Kilombero.
Mikutano yote ilikuwa mikubwa sana na yenye hamasa kubwa huku wenyeviti saba wa CCM wa vijiji kwenye jimbo la Ulanga Mashariki wakirudisha kadi


 za CCM na kujiunga na CHADEMA na kuahidi kuongeza nguvu zaidi kwenye Operation Delete CCM ambapo watasaidia wagombea watakao simamishwa na Chadema pamoja na vyama vingine vya UKAWA.

Ziara za chama ndio zimeanza rasmi na zitakuwa endelevu bila kukoma mpaka 2015

No comments:

Post a Comment