Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, November 18, 2014

DK. SLAA AENDELEA KUTIKISA VIJIJNI OPERESHENI DELETE CCM

 
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willbroad Slaa akihutubia maelfu ya wananchi wa Kijiji cha Ludewa, wilayani Kilosa, mkoani Morogoro katika mkutano wa Operesheni Delete CCM, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Ludewa juzi. (Na mpiga picha wetu).

No comments:

Post a Comment