Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Ngassa baada ya kufunga ndoa na Ladhia Mngazija Tegeta mjini Dar es Salaam leo. Hii ni ndoa ya pili kwa mchezaji huyo wa Yanga SC, ambaye anaoa baada ya kuachana na mkewe wa awali. |
BARAZA LA USHINDANI LATOA ELIMU KWA WADAU DODOMA
-
*KATIBU Tawala wa Mkoa wa Dodoma Bw.Kaspar Mmuya,akisisitiza jambo wakati
akifungua semina ya baraza la ushindani (FCT) kwa wadau wa Mkoa wa Dodoma
len...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment