Basi la Sai Baba Express limepata ajali eneo la Pingo, Chalinze leo asubuhi baada ya kutaka kulipita basi lingine wakati mvua ikinyesha na kupelekea basi hilo kupinduka. Basi hilo lilikuwa linatokea Dar likielekea mkoani Mbeya. kwa taarifa za mapema zinasema kuwa akuna mtu aliyefariki katika ajali hiyo
KOCHA LAURENCE AFURAHISHWA NA VIWANGO VYA WACHEZAJI TABORA UNITED
-
Kocha Mkuu wa Timu ya Tabora United Denis Laurence amesema kuwa katika
kipindi cha siku saba tangu alipojiunga na timu anaridhishwa na viwango vya
wachez...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment