Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, December 13, 2014

AJALI YAUA WATATU BUNJU

Gari aina ya Toyota VX likiwaka moto baada ya kuchomwa na wananchi  Bunju B jijini Dar kwa kusababisha ajali na kuuwa madereva watatu wa bodaboda.
Wananchi wakiwa eneo la tukio baada ya gari aina ya Toyota VX imeua madereva watatu wa bodaboda 
... Gari Likiendelea kuteketea kwa moto.
GARI aina ya Toyota VX imeua madereva watatu wa bodaboda Bunju B, Dar na gari hiyo kuchomwa moto na wananchi

No comments:

Post a Comment