Diamond Platnumz ni miongoni mwa wasanii wa Afrika watakaosikika kwenye wimbo wa pamoja wa kampeni ya kupinga ugonjwa wa Ebola ‘Africa Against Ebola’ wasanii walioshiriki katika kampeni hiyo akiwemo, Iyanya, Donald,Banky W,Kcee,Mafikizolo,Sean Tizzle na wengineo.
NMB kukuza Vipaji vya Ubunifu, Mageuzi ya Kidijitali UDSM Co-ICT
-
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
BENKI ya NMB na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), wamesaini mkataba wa
makubaliano ya ushirikiano, unaolenga Kukuza V...
17 minutes ago
No comments:
Post a Comment