Ajali iliyohusisha magari mawili imesababisha waliokuwa kwenye gari dogo kupoteza maisha maeneo ya Nzega, inaasemekana chanzo cha ajali ni speed ya gari dogo na mvua kubwa iliyokuwa inanyesha eneo hilo.
Kanisa Katoliki Tanzania lina majimbo 37, Metropolitani Saba kuimarisha
Utume wa Kichungaji
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Kanisa Katoliki nchini Tanzania lina jumla ya majimbo 37 (Dayosisi)
yaliyopangwa katika kanda saba za kikanisa (Metropolitani), hatua...
41 minutes ago



No comments:
Post a Comment