Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, January 16, 2015

BREAKING NEWSS:::Transfoma la kituo kikuu cha umeme cha Mgololo Mkoani Iringa lateketea kwa moto


Transfoma la kituo kikuu cha umeme cha Mgololo Mkoani Iringa likiteketea kwa moto mchana baada ya kulipuka ghafla,chanzo kilichepekea kulipuka kwa Transfoma hiyo bado hakijajulikana mpaka sasa na hali hiyo itapelekea baadhi ya maeneo ya mikoa ya Mbeya na Njombe kuwa gizani kwa muda.Taarifa zaidi zitawajia baadae kidogo.

Washuhuda wakiangalia Mtambo huo unavyoendelea kuteketea kwa moto mchana huu.CHANZO MICHUZI BLOG

No comments:

Post a Comment