Transfoma la kituo kikuu cha umeme cha Mgololo Mkoani Iringa likiteketea kwa moto mchana baada ya kulipuka ghafla,chanzo kilichepekea kulipuka kwa Transfoma hiyo bado hakijajulikana mpaka sasa na hali hiyo itapelekea baadhi ya maeneo ya mikoa ya Mbeya na Njombe kuwa gizani kwa muda.Taarifa zaidi zitawajia baadae kidogo.
BENKI YA NMB YACHANGIA VIFAA VYENYE THAMANI YA MILIONI 60 KWA SHULE TANO ZA
MSINGI WILAYA YA MUHEZA
-
* Na Oscar Assenga, Muheza.*
*BENKI ya NMB nchini imetoa imechangia vifaa vyenye thamani ya Milioni 60
kwa ajili ya kuboresha mazingira ya elimu kwa shule ...
2 minutes ago
No comments:
Post a Comment