Kipa mpya wa man united, victor valdes aliyeingia mkataba wa miezi 18 ameanza kazi rami na timu yake hiyo mpya baada ya kuwa ametamba na barcelona kwa kipindi kirefu. pamoja na valdez, kiungo daley blind naye amerejea mazoezini na kuungana na wenzake baada ya kuwa majeruhi kwa zaidi ya wiki moja.
Utumishi : Maafisa Utumishi Wakumbushwa Kuzingatia Sheria, Uzembe Waonywa
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Serikali imewataka Maafisa Utumishi na Wasimamizi wa Rasilimaliwatu nchini
kutekeleza majukumu yao kwa weledi, uadi...
9 hours ago










No comments:
Post a Comment