fidel Odinga ambaye alifariki nyumbani kwake ghafla baada ya kurudi kutoka matembezi na kufikia kumpumzika na hadi umauti ulipomkuta. Leo mwili wa marehemu Fidel Odinga umesafirishwa na Ndege ya jeshi la kenya Kenya Air Force hadi katika mji wa kisumu ambapo msafara wake utaanzia hapo hadi kwenye kijiji cha Opoda kilichopo kisumu Kenye na tayari kwa maziko siku ya kesho Jumamosi tarehe 8 January
ALBINISM SPORTS CLUB NA TASACI WASHIRIKIANA KUANDAA MECHI YA KIRAFIKI NA
TIMU YA BUNGE ITAKAYOCHEZWA JUNI 6
-
ALBINISM Sports Club yenye Makao Makuu yake jijini Dar es Salaam kwa
kushirikiana na Shirika la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira (TASACI),
imeandaa mec...
10 hours ago










No comments:
Post a Comment