fidel Odinga ambaye alifariki nyumbani kwake ghafla baada ya kurudi kutoka matembezi na kufikia kumpumzika na hadi umauti ulipomkuta. Leo mwili wa marehemu Fidel Odinga umesafirishwa na Ndege ya jeshi la kenya Kenya Air Force hadi katika mji wa kisumu ambapo msafara wake utaanzia hapo hadi kwenye kijiji cha Opoda kilichopo kisumu Kenye na tayari kwa maziko siku ya kesho Jumamosi tarehe 8 January
DKT. MWIGULU AWAPONGEZA VIONGOZI WILAYA YA HAI KUSIMAMIA VIZURI SEKONDARI
YA MBATAKERO
-
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewapongeza viongozi wa Halmashauri ya
Wilaya ya Hai kwa kusimamia vizuri mradi wa ujenzi wa shule mpya ya
sekondari ya...
4 hours ago










No comments:
Post a Comment