Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, January 10, 2015

STERLING APEWA LIKIZO

Mshambuliaji wa Liverpool Raheem Sterling hatokuwepo katika mechi dhidi ya Sunderland siku ya Jumamosi, kwa sababu amepewa mapumziko.
Sterling ambaye yuko mapumzikoni Jamaica ameonesha picha kupitia Instagram akiwa kavaa kofia na miwani.

Boss wa Liverpool Brendan Rodgers amesema alikuwa "amepanga" kumpa likizo mshambuliaji huyo ambaye amecheza dakika nyingi zaidi kuliko mshambuliaji yeyote katika Ligi Kuu ya England msimu huu.

No comments:

Post a Comment