Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, January 12, 2015

TAZAMA PICHA:::HIVI NDIVYO MASHABIKI WA SOKA MARA WALIVYOCHANA SUTI YA MWENYEKITI WA SOKA SHINYANGA

 Mwenyekiti wa chama cha soka mkoani shinyanga(shirefa)benester lugora),akiwa kwenye gari la polisi baada ya kuchaniwa suti yeke na mashabiki wenye hasira mkoani mara baada ya kudaiwa kutaka kuwahonga waamuzi wa mchezo kati ya mwadui ya shinyanga na polisi mara katika mchezo wa ligi daraja la kwanza.
 Kocha julio akiokolewa kwa kupakiwa kwenye gari la polisi ili asipigwe
 Mashabiki wakimzonga mwamuzi
 Wachezaji wa mwadui wakitolewa na polisi baada ya kumalizika mchezo kati yao na polisi mara uliomalizika kwa kufungana mabao 2-2 na kutokea kwa vurugu za mashabiki


Chanzo Shomari Binda

No comments:

Post a Comment