Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, March 31, 2015

PICHA 6::MSAADA WA HARAKA UNAHITAJIKA SINZA HAPA,TIZAMA KINACHOENDELEA




Hapa ndipo maji hayo yanapotoka ni chemba ambayo imepasuka muda mfupi uliopita lakini maji yake ni mengi kiasi kwamba yanaleta shida kubwa katika maeneo haya
Unaweza ukadhani kama hapa kuna mvua kuibwa sana ya mafuriko katika eneo hili lakisi sio kweli,hapa ni Dar es salaam sinza eneo la africasana ambapo moja ya chemba za maji 

 
ipepasuka mchama huu karibu kabisa na makazi na maduka ya watu,hali ya kiafya katika meeneo haya ni mbaya na maeneo makubwa sana yapetapakaa maji machafu na watu imebidi wakimbie maeneo yao ya kazi ili kukwepa adha hii kubwa,msaada wa haraka unahitajika kutoka kwa viongozi wa maeneo haya,ni karibu kabisa na kituo cha daladala cha sinza africasana lakini maji yametapakaa hadi maeneo ya bamaga kukizunguka chuo cha ustawi wa jamii hapa bamaga,wananchi wanaomba msaada waharaka ili kuokoa afya zao pamoja na hali ingine.
Kama Mnavyoona maji nji mengi kiasi kwamba hadi magari sasa yanaanza kupata matatizo katika barabara hiyo kutokana na wingi wa maji hayo. 






PICHA ZOTE NA EXAUD MTEI - HABARI24BLOG

No comments:

Post a Comment